UN JOBS

Tangazo la Kazi Umoja wa Mataifa – MONUSCO

Umoja wa Mataifa umetangaza  nafasi ya misheni ya Ulinzi wa Amani nchini Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo (MUNUSCO) kwa maafisa wa Jeshi la Polisi Tanzania wenye sifa. Nafasi hiyo ni POLICE REFORM AND RESTRUCTURING COORDINATOR P- 4 (2024- MONUSCO – 78800-DPO)

Bofya hapa kupakua (<< https://polisi.go.tz/publications/>>)

Related news